Mchungaji Peter Msigwa Leo Kupitia Ukurasa wake wa Twitter Ameweka azi
jinsi alivyolipokea suala la Aliyekuwa WAZIRI wa Habari sanaa,Utamaduni
na Michezo Mhe Nape Nnauye Kutumbuliwa na Rais Magufuli.
Kwa Magufuli bashite ni mhimu na ni bora kuliko Nape ndani ya chama na serikali! Hongera JPM!