BAADA YA NAPE KUONDOSHAWA HAYA HAPA MANENO YA MCHUNGAJI MSIGWA


Mchungaji Peter Msigwa Leo Kupitia Ukurasa wake wa Twitter Ameweka azi jinsi alivyolipokea suala la Aliyekuwa WAZIRI  wa Habari sanaa,Utamaduni na Michezo Mhe Nape Nnauye Kutumbuliwa na Rais Magufuli.

Kwa Magufuli bashite ni mhimu  na ni bora kuliko Nape ndani ya chama na serikali! Hongera JPM!
Previous Post Next Post